Posts

Showing posts from February, 2024

Sababu ya Mimba Kuharibika, Dalili na Matibabu yake Unapoona Dalili

Image
Mimba kuharibika au kutoka ni hali ya mimba yenye wiki 28 au chini ya hapo kuharibika au kutoka. Hali hujulikana kama miscarriage au spontaneous abortion kwa kiingereza. Mtoto aliye tumboni katika umri huu hataweza kuishi nje ya tumbo la mama. Katika nchi zilizoendelea huchukuliwa mimba iliyo chini ya kipindi cha wiki 24. Zaidi ya asilimia 80 ya mimba huharibika katika miezi 3 ya kwanza ya ujauzito. Baada ya miezi hii kupita, uwezekano wa mimba kuharibika hupungua. Dalili Za Mimba Kuharibika Karibu asilimia 50 ya mimba zote huharibika hata kabla ya mwanamke kujua kama ni mjamzito, hasa ikisababishwa na matatizo katika vinasaba vya mtoto (congenital chromosomal abnormalities). Kwa mimba zilizoanza kukua dalili za mimba kutoka huwa ni Kutokwa Damu Kwenye Uke. Damu inaweza kutoka kama matone kwenye nguo za ndani na baadae damu nyingi, au damu nyingi kama ya hedhi.Maumivu ya Tumbo. Mara nyingi hutokea chini ya kitovu. Yanaweza kuwa makali sana.Kutoa tishu, mabonge ya damu na mabaki ya kiin...

Haya Hapa Madhara ya Kujichua Kwa Wanawake na Wanaume

Image
Punyeto ni nini Punyeto ni kitendo cha kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Haya ni baadhi ya madhara awezayopata mwanamke anayejichua au kufanya punyeto; 1. Inaharibu kizazi 2. Inakufanya kua mvivu mara kwa mara 3. Unakuwa unakosa hamu ya tendo 4. Maumivu ukeni yasiyo na sababu 5. Uke kuwa mlegevu yaani mtepeto 6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo utoka kabla ya tendo kuto kuwepo ivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo. 7. Uwezi kuja kujua raha ya tendo ukizoea punyeto sana wewe dada. 8. Punyeto inafanya uke wa mwanamke kukosa ladha kabisa hiyo itapelea kukimbiwa na mmeo au mwenzako kutafuta kamchepuko kenye uke mtamu. 9. Na ukizoea punyeto itakufanya kuwa mtu wa hasira hasira kila mara 10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itapekekea kufanya mapenzi ya jinsia moja. Hay ni baadhi ya madhara ya kupiga punyeto kwa wanaume 1. Punyeto hukufanya uwe dh...

Faida za kiafya za kufanya mazoezi ya kutembea angalau mita 200 kila siku

Image
Kufanya mazoezi ya kutembea angalau mita 200 kila siku kunaweza kuleta faida nyingi za kiafya. Hapa kuna baadhi ya faida hizo: 1. **Kupunguza Hatari ya Magonjwa ya Moyo:** Mazoezi ya mara kwa mara, kama vile kutembea, husaidia kupunguza presha ya damu, kuboresha mzunguko wa damu, na kupunguza kiwango cha kolesterol mwilini. Hii inaweza kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na mishipa. 2. **Kupunguza Hatari ya Kisukari:** Kutembea husaidia kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, hasa kwa watu wenye hatari ya kisukari aina ya 2. Mazoezi ya kutembea yanaweza kusaidia kudhibiti uzito na kuboresha unyeti wa mwili kwa insulin. 3. **Kuboresha Uimara na Nguvu:** Hata kutembea kwa muda mfupi kila siku inaweza kuimarisha misuli, mifupa, na viungo. Hii inaweza kusaidia kuzuia magonjwa ya mifupa kama vile osteoporosis. 4. **Kupunguza Hatari ya Kiharusi:** Mazoezi ya mara kwa mara, kama vile kutembea, yanaweza kupunguza hatari ya kiharusi kwa kuboresha afya ya mishipa ya damu na m...

KAMA Hujui..Hii Ndiyo Hatari ya Kiafya Inayopatikana Kutokana na Sumu Iliyomo Katika Betri za Simu..!!

Image
Pamoja na kwamba simu zimeleta maendeleo makubwa katika teknolojia ya Mawasiliano duniani lakini betri zinazotumika katika simu hizi hasa katika simu aina ya smartphone zimeonekana kuwa na sumu kali inayoweza kudhuru afya ya binadamu. Katika tafiti mpya zilizofanyika hivi karibuni imegundulika kuwa zaidi ya gesi 100 zinazoweza kusababisha kifo hutolewa na betri zinazopatikana miongoni mwa mabilioni ya vifaa vinavyotumiwa na raia wengi duniani zikiwemo simu aina ya smartphone na vipatakilishi. Utafiti huo ulibaini kuwa betri za lithium zinazotumika sana katika simu aina ya smartphone hutoa aina 100 za gesi zenye sumu kali ikiwemo gesi ya kaboni monoksaidi, ambayo inaweza kusababisha kujikuna katika ngozi, macho na pua pamoja na kuathiri mazingira. Watafiti kutoka Taasisi ya Ulinzi ya NBC nchini Marekani pamoja na Chuo Kikuu cha Tsinghua nchini China wamesema kuwa watu wengi huenda hawajui hatari ya betri kupata moto, kuharibika ama kutumia chaji isiofaa katika vifaa hivyo, jarida la Sc...

Limao Katika Mwili wa Binadamu Huongeza Kinga ya Mwili

Image
Tafiti zimebainisha kuwa mtu anashauriwa kutumia maganda ya ndimu kama ambavyo anatumia juisi ya limao kwani maganda hayo yanavirutubisho muhimu sana katika mwili wa binadamu hasa katika kupambana na kiwango cha sukari ndani ya mwili. Matumizi ya Limao katika mwili wa binadamu huongeza kinga mwilini ya kupigana na magonjwa mbalimbali, na ndio maana inashauriwa kwa wale wenye kinga pungufu dhidi ya magonjwa kutumia limao ili kuipa nguvu kinga ya mwili kupingana na magonjwa mbalimbali. Aidha, utumiaji wa juisi ya limao kila siku asubuhi una faida kubwa sana katika mwili wa binadamu, kwani limao lina virutubisho na madini mbalimbali kama Calcium, Magnesiam, vitamin C, Zink, Potasiam, kopa, chuma na Protini. Limao husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kulainisha choo, hivyo kwa wale wanaosumbuliwa na tatizo la kupata haja kubwa wanashauriwa kila siku asubuhi kutumia juisi ya limao ili kusaidia kupata haja kubwa kwa urahisi. Matumizi ya limao hutunza mfumo wa kinywa hasa kwa kujali afy...

YAJUE Madhara ya kutumia Simu ya Smartphone kwenye Giza

Image
Mara nyingi watu wengi tuanpenda kutumia simu mahali ambapo pana giza kwa muda mrefu, sisi tunapenda kukuita kukuchati. Kuchati huku nyakati za giza wakati taa imezimwa huwa na madhara yafuatayo. Kwa sasa, idadi ya wagonjwa kuanzia miaka 30-40 wanatafuta matibabu makubwa. kutokana na matumizi ya simu za mkononi (smart phone) gizani. Profesa Li Li, kiongozi wa hospitali ya macho huko singapore amesema: anasema mionzi ya moja kwa moja kwa zaidi ya dk 30 na kuendelea inaweza kusababisha mpangilio na mbadiliko wa seli macho na hivyo kusababisha saratani na kushindwa kuona kabisa. Hii ni kwasababu wakati wa kutimia simu mahali penye giza huwa tunayalazimisha macho yetu yaweze kuona ya uwezo wake. Na ndo maaana kuna wakati unaweza ukatumia simu muda mrefu mahali penye giza mara baada ya kuacha kutumia simu utaona kama giza limezidi zaidi. Hali hiyo huyafanya macho yako yaanze kurudi katika hali ya ukawaida. Pia utumiaji wa simu kwenye giza husababisha Kupata saratani ya macho. Hivyo ili uwez...

Faida Za Ulaji Wa Ndizi Kwa Wanaume Mlio Kwenye Ndoa

Image
Ndizi ni tunda linalopendwa na watu wengi sana kwenye jamii ya watanzania lakini je unajua ndizi zinaweza kukusaidia mwanaume kwenye shughuli za ndoa na kutimiza majukumu yako ya uwamaume vizuri kwa mke wako au mwenzi wako leo tutazame faida tatu za ndizi kwa wamaume kwenye sehemu ya mahusiano 1.Ndizi Ni Chanzo Kikubwa Cha Nguvu Mwilini Ndizi mbivu zina kiwango kizuri cha Glucose ambayo huingia kwenye damu moja kwa moja na kuleta msisimuko na kuongeza utendaji wa kazi wa mwilini si unasikia wachezaji wanaambiwa wabugie Glucose kwenye kipindi cha mapunziko sasa ndizi ni glucose salama zaidi tena sio glucose pekee na faida zingine kibao 2.Ndizi ina madini kiasi kikubwa ya Potassium siku kuwa ukiwa na kisukari (BP) uwezo wako wa kucheza mechi kitandani unakuwa mdogo basi ndizi ina madini ya potassium ambayo yanasaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini ndugu yangu kama ukila ndizi mbivu mbili kwa siku unadhani hiyo sukari inashushwa kiasi gani Stuka bwana 3.Ndizi husaidia Mfumo wa Mm...

Zifahamu Faida Za Tangawizi Na Jinsi Inavyosaidia Kutibu Mafua

Image
JE, TANGAWIZI NI NINI? Ni kiungo ambacho kinatokana na mizizi ya Mmea wa Tangawizi. Mmea huu unafanana sana na Binzari ikiwa bado haijamenywa maganda yake. Na kwa hapa Tanzania Tangawizi hulimwa sana mikoa ya nyanda za juu Kusini na baadhi ya mikoa kama vile Kilimanjaro, baadhi ya maeneo ya mkoa wa Manyara, Morogoro na sehemu mbali mbali nchini. Tafiti mpya zinazidi kuonyesha namna mmea huu ulivyo wa mhimu kwa afya ya binadamu ikihusisha uwezo wake wa kudili na aina mbalimbali za kansa mwilini na tafiti nyingine zinaendelea kufanyika. Tangawizi inaweza kuwekwa karibu kwenye kila chakula, iwe ni katika kuilainisha nyama nyekundu, kuongeza radha katika nyama au samaki, kama chai, kwenye juisi na kadharika Tangawizi ni zao la kibiashara na ni rahisi kutoka kimaisha kama utaamua kulima tangawizi ingawa ni zao la miezi mingi lakini ukivumilia utakula bata tu, gunia moja linauzwa kati ya laki 3 hadi 6 wakati wa msimu mzuri. Tangawizi iliorodheshwa kwa mara ya kwanza na serikali ya Marekani k...

Mbinu za asili za kuongeza nguvu za kiume

Image
Upungufu wa nguvu za kiume umekua tatizo kubwa sana kwa wanaume wengi. Tatizo hili limewakumba wanaume wengi walio katika ndoa na hata wale ambao bado hawajaoa. Watu wengi wamekuwa wakisumbuka kutafuta utatuzi kwani tatizo hili huwafanya kuwa na wasiwasi wa maisha. Ndoa nyingi zimevunjika na mahusiano kuharibika kwa sababu ya tatizo hili. Kwa wanaume wenye umri mkubwa, upungufu wa nguvu za kiume unaweza usiwe ni tatizo kwani miili yao inakuwa tayari imechoka. Hizi hapa ni baadhi ya njia zitakazokusaidia kurudisha nguvu za kiume zilizokuwa zimepotea, au kuimarisha uwezo wako wa tendo la ndoa. Jitahidi kutumia vinywaji na vyakula visivyokuwa na sukari nyingi. Epuka vinywaji vyote vyenye sukari nyingi kwani ni adui mkubwa sana wa afya yako hasa wakati unataka kurudisha nguvu za kiume. Kula vyakula asili na nafaka ambayo haijakobolewa, kula matunda kwa wingi pamoja na mboga za majani. Utafurahia maisha ya kula vyakula asili na utakuwa imara katika tendo la ndoa. Epuka unywaji wa Pombe. Taf...